Sunday, June 19, 2016

Kubenea athibitisha umiliki wa kiwanja alichokataa Hussein Mwinyi, ataka ajiuzulu kama alivyoahidi



Mbunge wa Ubungo Said Kubenea ameonyesha nakala zinazothibitisha umiliki wa kiwanja alichokataa waziri wa ulinzi Hussein Mwinyi na ametaka mbunge huyo kujiuzulu, amesema kiwanja hicho alikitaja bungeni na Dk. Mwinyi akadai madai yake yote ni ya uwongo mtupu na kukiwa hata na chembe ya ukweli atajiuzulu na sasa amemtaka ajiuzulu kweli kama alivyoahidi.
Mbunge huyo pia amesema ameapanga kumshitaki naibu spika kwenye kamati ya maadili kwa madai kuwa anatumia kanuni za bunge isivyo kikanuni

No comments:

Post a Comment