Tuesday, October 21, 2014

Taswira za Mkutano wa Chadema mjini Iringa

Umati wa wakazi wa mji wa Iringa waliohudhuria mkutano wa Chadema Iringa uliokuwa ukihutubiwa na Katibu Mkuu wa Chadema Taifa Dr Wilbroad Slaa.

Naibu Katibu Mkuu Zanzibar, Mwalimu Salum akihutubia umati wa maelfu ya wakazi wa Mji wa Iringa na Vitongoji vyake waliohudhuria mkutano wa CHADEMA uliofanyika leo na kuhutubiwa na Katibu Mkuu Dk. Slaa

No comments:

Post a Comment